forked from WA-Catalog/sw_tn
340 B
340 B
Maelezo ya Jumla
Hapa ni mwanzo wa Sehemu ya Sita ya kitabu, sehemu ya mwisho
Ni nani huyu anaye kuja
"Mwangalie huyu mwanamke wa ajabu anaye kuja." Ona jinsi ulivyo tafsiri maneno kama haya 6:10
nimekuamsha
"Nimekuamsha uamke"
mti wa mpera
Ona jinsi ulivyo tafsiri 2:3
pale
chini ya mpera
alijifungua wewe
alikuzaa