forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
524 B
Markdown
16 lines
524 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Paulo anawatia moyo waamini kukumbuka kuwa wana wajibika kwa mungu.
|
|
|
|
# Wadhaifu katika imani
|
|
|
|
Hii inamaanisha wale ambao waliona hatia juu ya kula na kunywa vitu kadha wa kadha.
|
|
|
|
# Bila kutoa hukumu kwa maswali hayo
|
|
|
|
"Na msiwalaumu kutokana na maoni yao"
|
|
|
|
# Kwa upande mmoja, mtu mmoja anaimani kula chochote, bali kwa upande mwingine
|
|
|
|
Sentensi "Kwa upande mmoja" na "kwa upande mwingine" inatambulisha njia mbili tofauti za kuwaza juu ya kitu fulani. " Mtu mmoja ana imani kula kitu chochote lakini"
|