forked from WA-Catalog/sw_tn
524 B
524 B
Sentensi unganishi
Paulo anawatia moyo waamini kukumbuka kuwa wana wajibika kwa mungu.
Wadhaifu katika imani
Hii inamaanisha wale ambao waliona hatia juu ya kula na kunywa vitu kadha wa kadha.
Bila kutoa hukumu kwa maswali hayo
"Na msiwalaumu kutokana na maoni yao"
Kwa upande mmoja, mtu mmoja anaimani kula chochote, bali kwa upande mwingine
Sentensi "Kwa upande mmoja" na "kwa upande mwingine" inatambulisha njia mbili tofauti za kuwaza juu ya kitu fulani. " Mtu mmoja ana imani kula kitu chochote lakini"