forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
311 B
Markdown
12 lines
311 B
Markdown
# Mlikuwa mmemuasi
|
|
|
|
"Hamkumtii hapo zamani"
|
|
|
|
# Ninyi
|
|
|
|
Hii inamaanisha waamini wa Mataifa, na ni wingi.
|
|
|
|
# Mungu amewafunga watu wote katika uasi
|
|
|
|
Hii pia inaweza kumaanisha Mungu anawafanya wasiweze kuacha kumuasi, kama wafungwa walioshindwa kutoroka gerezani. "Mungu amamfanya kila mtu kuwa mfungwa kwa kuasi"
|