forked from WA-Catalog/sw_tn
311 B
311 B
Mlikuwa mmemuasi
"Hamkumtii hapo zamani"
Ninyi
Hii inamaanisha waamini wa Mataifa, na ni wingi.
Mungu amewafunga watu wote katika uasi
Hii pia inaweza kumaanisha Mungu anawafanya wasiweze kuacha kumuasi, kama wafungwa walioshindwa kutoroka gerezani. "Mungu amamfanya kila mtu kuwa mfungwa kwa kuasi"