sw_tn/rom/11/30.md

311 B

Mlikuwa mmemuasi

"Hamkumtii hapo zamani"

Ninyi

Hii inamaanisha waamini wa Mataifa, na ni wingi.

Mungu amewafunga watu wote katika uasi

Hii pia inaweza kumaanisha Mungu anawafanya wasiweze kuacha kumuasi, kama wafungwa walioshindwa kutoroka gerezani. "Mungu amamfanya kila mtu kuwa mfungwa kwa kuasi"