sw_tn/rom/08/14.md

506 B

Maana kama ambavyo wengi wanaongozwa na Roho wa Mungu

"Kwa watu wote ambao Roho wa Mungu anawaongoza"

wana wa Mungu

Hapa hii inamaanisha walioamini wote katika Yesu na mara nyingi hutafsiriwa kama "watoto wa Mungu."

Kwa kuwa hamkupokea roho ya utumwa tena hata muogope

"Kwa kuwa Mungu hakuwapa ninyi roho inayowanya ninyi kuwa watumwa tena wa nguvu ya dhambi na hofu ya hukumu ya Mungu"

ambayo kwayo tunalia

"inayotufanya sisi tulie"

Abba, Baba

"Abba" ni "Baba" kwa lugha ya Kiaramaiki.