forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
506 B
Markdown
20 lines
506 B
Markdown
|
# Maana kama ambavyo wengi wanaongozwa na Roho wa Mungu
|
||
|
|
||
|
"Kwa watu wote ambao Roho wa Mungu anawaongoza"
|
||
|
|
||
|
# wana wa Mungu
|
||
|
|
||
|
Hapa hii inamaanisha walioamini wote katika Yesu na mara nyingi hutafsiriwa kama "watoto wa Mungu."
|
||
|
|
||
|
# Kwa kuwa hamkupokea roho ya utumwa tena hata muogope
|
||
|
|
||
|
"Kwa kuwa Mungu hakuwapa ninyi roho inayowanya ninyi kuwa watumwa tena wa nguvu ya dhambi na hofu ya hukumu ya Mungu"
|
||
|
|
||
|
# ambayo kwayo tunalia
|
||
|
|
||
|
"inayotufanya sisi tulie"
|
||
|
|
||
|
# Abba, Baba
|
||
|
|
||
|
"Abba" ni "Baba" kwa lugha ya Kiaramaiki.
|