forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
533 B
Markdown
24 lines
533 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Yohana anaanza kueleza maono kuhusu fimbo ya kupimia na mashahidi wawili walioteuliwa na Mungu. Maono yalichukua nafasi kati ya kupulizwa kwa tarumbeta ya sita na tarumbeta ya saba.
|
|
|
|
# Nilipewa mwanzi
|
|
|
|
"Mtu alinipa mwanzi"
|
|
|
|
# Nilipewa ... Niliambiwa
|
|
|
|
Aliyepewa na aliyeambiwa anamaanishwa ni Yohana.
|
|
|
|
# na wale wanaoabudu ndani yake
|
|
|
|
"na hesabu wale wanaoabudu ndani ya hekalu"
|
|
|
|
# Wataukanyaga
|
|
|
|
kukifanya kitu kama vile hakina dhamani kwa kutembea juu yake.
|
|
|
|
# iezi arobaini na miwili
|
|
|
|
miezi miwili - "miezi 42"
|