sw_tn/rev/11/01.md

533 B

Taarifa ya Jumla:

Yohana anaanza kueleza maono kuhusu fimbo ya kupimia na mashahidi wawili walioteuliwa na Mungu. Maono yalichukua nafasi kati ya kupulizwa kwa tarumbeta ya sita na tarumbeta ya saba.

Nilipewa mwanzi

"Mtu alinipa mwanzi"

Nilipewa ... Niliambiwa

Aliyepewa na aliyeambiwa anamaanishwa ni Yohana.

na wale wanaoabudu ndani yake

"na hesabu wale wanaoabudu ndani ya hekalu"

Wataukanyaga

kukifanya kitu kama vile hakina dhamani kwa kutembea juu yake.

iezi arobaini na miwili

miezi miwili - "miezi 42"