forked from WA-Catalog/sw_tn
533 B
533 B
Taarifa ya Jumla:
Yohana anaanza kueleza maono kuhusu fimbo ya kupimia na mashahidi wawili walioteuliwa na Mungu. Maono yalichukua nafasi kati ya kupulizwa kwa tarumbeta ya sita na tarumbeta ya saba.
Nilipewa mwanzi
"Mtu alinipa mwanzi"
Nilipewa ... Niliambiwa
Aliyepewa na aliyeambiwa anamaanishwa ni Yohana.
na wale wanaoabudu ndani yake
"na hesabu wale wanaoabudu ndani ya hekalu"
Wataukanyaga
kukifanya kitu kama vile hakina dhamani kwa kutembea juu yake.
iezi arobaini na miwili
miezi miwili - "miezi 42"