sw_tn/rev/09/20.md

303 B

wale ambao walikuwa hawajauawa na mapigo haya

"wale ambao mapigo hayakuwaua"

vitu ambavyo haviwezi kuona, kusikia au kutembea

Msemo huu unatukumbusha kuwa sanamu hazina uhai na hazistahili kuabudiwa. Lakini watu hawakuacha kuviabudu. "licha ya kwamba sanamu haziwezi kuona, kusikia, au kutembea"