forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
303 B
Markdown
8 lines
303 B
Markdown
|
# wale ambao walikuwa hawajauawa na mapigo haya
|
||
|
|
||
|
"wale ambao mapigo hayakuwaua"
|
||
|
|
||
|
# vitu ambavyo haviwezi kuona, kusikia au kutembea
|
||
|
|
||
|
Msemo huu unatukumbusha kuwa sanamu hazina uhai na hazistahili kuabudiwa. Lakini watu hawakuacha kuviabudu. "licha ya kwamba sanamu haziwezi kuona, kusikia, au kutembea"
|