forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
694 B
Markdown
28 lines
694 B
Markdown
# Anapitisha hukumu
|
|
|
|
"Anaamua mambo kwa usawa"
|
|
|
|
# kwa waliokandamizwa
|
|
|
|
"kwa watu waliokandamizwa" au "kwa wale ambao watu wengine wamewakandamiza"
|
|
|
|
# kwa wenye njaa
|
|
|
|
"kwa watu wenye njaa" au "kwa wale walio na njaa"
|
|
|
|
# hufungua macho ya vipofu
|
|
|
|
Kumsababisha mtu kipofu kuona inazungumziwa kana kwamba Yahwe alikuwa anafungua macho yake. "husababisha vipofu kuona"
|
|
|
|
# vipofu
|
|
|
|
"watu vipofu" au "wale walio vipofu"
|
|
|
|
# Yahwe huwainua wale walioinama chini
|
|
|
|
Yahwe kumsaidia mtu inazungumziwa kana kwamba anamsaidia mtu kimwili kusimama. "Yahwe huwasaidia wale walio kata tamaa" au "Yahwe huwasaidia wale walio wanyonge"
|
|
|
|
# walioinama chini
|
|
|
|
Hili ni tendo lenye ishara ya kukata tamaa na kuomboleza.
|