sw_tn/psa/146/007.md

694 B

Anapitisha hukumu

"Anaamua mambo kwa usawa"

kwa waliokandamizwa

"kwa watu waliokandamizwa" au "kwa wale ambao watu wengine wamewakandamiza"

kwa wenye njaa

"kwa watu wenye njaa" au "kwa wale walio na njaa"

hufungua macho ya vipofu

Kumsababisha mtu kipofu kuona inazungumziwa kana kwamba Yahwe alikuwa anafungua macho yake. "husababisha vipofu kuona"

vipofu

"watu vipofu" au "wale walio vipofu"

Yahwe huwainua wale walioinama chini

Yahwe kumsaidia mtu inazungumziwa kana kwamba anamsaidia mtu kimwili kusimama. "Yahwe huwasaidia wale walio kata tamaa" au "Yahwe huwasaidia wale walio wanyonge"

walioinama chini

Hili ni tendo lenye ishara ya kukata tamaa na kuomboleza.