forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
376 B
Markdown
12 lines
376 B
Markdown
# Yahwe, mtu ni nini hadi unamtambua au mwanadamu hadi unamfikiria?
|
|
|
|
"Mwanadamu ni mdogo sana ukilinganisha na vingine vyote ulivyoumba hadi ninashangaa kwamba unamtambua na kumwaza"
|
|
|
|
# mtu ... mwanadamu
|
|
|
|
maneno mawili yote yanamaanisha wanadamu
|
|
|
|
# kama pumzi ... kama kivuli kipitacho
|
|
|
|
Mwandishi anawafananisha wanadamu na hivi vitu kuonesha jinsi maisha yao yalivyo mafupi.
|