sw_tn/psa/144/003.md

12 lines
376 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Yahwe, mtu ni nini hadi unamtambua au mwanadamu hadi unamfikiria?
"Mwanadamu ni mdogo sana ukilinganisha na vingine vyote ulivyoumba hadi ninashangaa kwamba unamtambua na kumwaza"
# mtu ... mwanadamu
maneno mawili yote yanamaanisha wanadamu
# kama pumzi ... kama kivuli kipitacho
Mwandishi anawafananisha wanadamu na hivi vitu kuonesha jinsi maisha yao yalivyo mafupi.