sw_tn/psa/144/003.md

376 B

Yahwe, mtu ni nini hadi unamtambua au mwanadamu hadi unamfikiria?

"Mwanadamu ni mdogo sana ukilinganisha na vingine vyote ulivyoumba hadi ninashangaa kwamba unamtambua na kumwaza"

mtu ... mwanadamu

maneno mawili yote yanamaanisha wanadamu

kama pumzi ... kama kivuli kipitacho

Mwandishi anawafananisha wanadamu na hivi vitu kuonesha jinsi maisha yao yalivyo mafupi.