forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
672 B
Markdown
20 lines
672 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Katika mstari wa 13 anayetamani ni Yahwe na mstari wa 14 anayezungumza ni Yahwe. Yule anayetamaniw ni Sayuni.
|
|
|
|
# Sayuni ... amemtamani ... ninmtamani
|
|
|
|
Mwandishi anaandika kana kwamba mji wa Sayuni ulikuwa ni mwanamke.
|
|
|
|
# amemtamani kwa ajili ya kiti chake
|
|
|
|
Hapa "kiti" kinaashiri kati ya 1) kiti chake cha enzi atakapotawala, au 2) sehemu atakayo ishi.
|
|
|
|
# amemtamani kwa ajili ya kiti chake
|
|
|
|
Yahwe ametamani Sayuni kwa ajili ya kiti cha Yahwe." Hii inaonesha washiriki halisi.
|
|
|
|
# sehemu yangu ya kupumzika
|
|
|
|
Sehemu ambayo Mungu alichagua ya watu kumwabudu inazungumziwa kama sehemu anayopumzikia au anapoishi milele. "sehemu ninayokaa" au "hema langu"
|