sw_tn/psa/132/013.md

672 B

Taarifa ya Jumla:

Katika mstari wa 13 anayetamani ni Yahwe na mstari wa 14 anayezungumza ni Yahwe. Yule anayetamaniw ni Sayuni.

Sayuni ... amemtamani ... ninmtamani

Mwandishi anaandika kana kwamba mji wa Sayuni ulikuwa ni mwanamke.

amemtamani kwa ajili ya kiti chake

Hapa "kiti" kinaashiri kati ya 1) kiti chake cha enzi atakapotawala, au 2) sehemu atakayo ishi.

amemtamani kwa ajili ya kiti chake

Yahwe ametamani Sayuni kwa ajili ya kiti cha Yahwe." Hii inaonesha washiriki halisi.

sehemu yangu ya kupumzika

Sehemu ambayo Mungu alichagua ya watu kumwabudu inazungumziwa kama sehemu anayopumzikia au anapoishi milele. "sehemu ninayokaa" au "hema langu"