sw_tn/psa/132/013.md

20 lines
672 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Taarifa ya Jumla:
Katika mstari wa 13 anayetamani ni Yahwe na mstari wa 14 anayezungumza ni Yahwe. Yule anayetamaniw ni Sayuni.
# Sayuni ... amemtamani ... ninmtamani
Mwandishi anaandika kana kwamba mji wa Sayuni ulikuwa ni mwanamke.
# amemtamani kwa ajili ya kiti chake
Hapa "kiti" kinaashiri kati ya 1) kiti chake cha enzi atakapotawala, au 2) sehemu atakayo ishi.
# amemtamani kwa ajili ya kiti chake
Yahwe ametamani Sayuni kwa ajili ya kiti cha Yahwe." Hii inaonesha washiriki halisi.
# sehemu yangu ya kupumzika
Sehemu ambayo Mungu alichagua ya watu kumwabudu inazungumziwa kama sehemu anayopumzikia au anapoishi milele. "sehemu ninayokaa" au "hema langu"