forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
559 B
Markdown
20 lines
559 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Sehemu kubwa ya zaburi hii inaelekezwa kwa Mungu, na maneno "wewe" na "zako" mara nyingi zinamaanisha yeye.
|
|
|
|
# Hawafanyi kosa
|
|
|
|
Hawamkaidi Yahwe
|
|
|
|
# wanatembea katika njia zake
|
|
|
|
"wanatembea katika njia za Yahwe." Hapa tabia yao inazungumziwa kama "kutembea," na jinsi Mungu anavyoteka waenende inazungumziwa kama "njia zake." "wanaenenda kama Yahwe anavyotaka waenende"
|
|
|
|
# kutunza maagizo wako
|
|
|
|
"kutii vitu vyote ambavyo umesema tunapaswa kufanya"
|
|
|
|
# tuziangalie kwa uangalifu
|
|
|
|
Hii ni kujua kwa umakni na kuelewa amri na kuzitii hizo amri.
|