sw_tn/psa/119/003.md

559 B

Taarifa ya Jumla:

Sehemu kubwa ya zaburi hii inaelekezwa kwa Mungu, na maneno "wewe" na "zako" mara nyingi zinamaanisha yeye.

Hawafanyi kosa

Hawamkaidi Yahwe

wanatembea katika njia zake

"wanatembea katika njia za Yahwe." Hapa tabia yao inazungumziwa kama "kutembea," na jinsi Mungu anavyoteka waenende inazungumziwa kama "njia zake." "wanaenenda kama Yahwe anavyotaka waenende"

kutunza maagizo wako

"kutii vitu vyote ambavyo umesema tunapaswa kufanya"

tuziangalie kwa uangalifu

Hii ni kujua kwa umakni na kuelewa amri na kuzitii hizo amri.