forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
571 B
Markdown
20 lines
571 B
Markdown
# Taaarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Mtu aliyetunga zaburi hii anaendelea kuzungumza.
|
|
|
|
# Kamba za kifo zilinizunguka
|
|
|
|
Mwandishi anazungumzia kifo kanakwambani mtu anayeweza kumshika na kumfunga kwa kamba. "Nilihisa kama nataka kufa"
|
|
|
|
# mitego ya kuzimu ilinikabili
|
|
|
|
Mwandishi anazungumzia "kuzimu," mahali pa wafu, kana kwambani mtu anayeweza kumtega kwamitego. "Nilihisi kama niko tayari kuingia kaburini"
|
|
|
|
# nikalita jina la Yahwe
|
|
|
|
Hapa neno "jina" linaashiria Yahwe mwenyewe. "nikamwita Yahwe"
|
|
|
|
# okoa maisha yangu
|
|
|
|
Hapa neno "maisha" linaashiria mtu. "niokoe" au "niepushe na kufa"
|