sw_tn/psa/116/003.md

571 B

Taaarifa ya Jumla:

Mtu aliyetunga zaburi hii anaendelea kuzungumza.

Kamba za kifo zilinizunguka

Mwandishi anazungumzia kifo kanakwambani mtu anayeweza kumshika na kumfunga kwa kamba. "Nilihisa kama nataka kufa"

mitego ya kuzimu ilinikabili

Mwandishi anazungumzia "kuzimu," mahali pa wafu, kana kwambani mtu anayeweza kumtega kwamitego. "Nilihisi kama niko tayari kuingia kaburini"

nikalita jina la Yahwe

Hapa neno "jina" linaashiria Yahwe mwenyewe. "nikamwita Yahwe"

okoa maisha yangu

Hapa neno "maisha" linaashiria mtu. "niokoe" au "niepushe na kufa"