sw_tn/psa/089/015.md

562 B

wanao kuabudu

Hapa neno "kuabudu" inaashiria kupiga kelele na kupuliza pembe. Haya yalikuwa matendo ya kawaida wa kuabudu wakati wa sikukuu za Waisraeli.

wanatembea

Hapa watu kuishi maisha yao inazungumziwa kana kwamba wanatembea.

katika mwanga wa uso wako

Mwandishi anazumzungumzia Yahwe kuwatendea fadhila kana kwamba uso wa Yahwe ulimulika mwanga kwao. "wakijua kuwa unawatendea fadhila"

katika jina lako

Hapa "jina" linamwakilisha mtu. "katika wewe"

katika haki yako wanakutukuza

"wanakutukuza kwa sababu daima huwa unafanya kilicho sawa"