forked from WA-Catalog/sw_tn
562 B
562 B
wanao kuabudu
Hapa neno "kuabudu" inaashiria kupiga kelele na kupuliza pembe. Haya yalikuwa matendo ya kawaida wa kuabudu wakati wa sikukuu za Waisraeli.
wanatembea
Hapa watu kuishi maisha yao inazungumziwa kana kwamba wanatembea.
katika mwanga wa uso wako
Mwandishi anazumzungumzia Yahwe kuwatendea fadhila kana kwamba uso wa Yahwe ulimulika mwanga kwao. "wakijua kuwa unawatendea fadhila"
katika jina lako
Hapa "jina" linamwakilisha mtu. "katika wewe"
katika haki yako wanakutukuza
"wanakutukuza kwa sababu daima huwa unafanya kilicho sawa"