forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
562 B
Markdown
20 lines
562 B
Markdown
|
# wanao kuabudu
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "kuabudu" inaashiria kupiga kelele na kupuliza pembe. Haya yalikuwa matendo ya kawaida wa kuabudu wakati wa sikukuu za Waisraeli.
|
||
|
|
||
|
# wanatembea
|
||
|
|
||
|
Hapa watu kuishi maisha yao inazungumziwa kana kwamba wanatembea.
|
||
|
|
||
|
# katika mwanga wa uso wako
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anazumzungumzia Yahwe kuwatendea fadhila kana kwamba uso wa Yahwe ulimulika mwanga kwao. "wakijua kuwa unawatendea fadhila"
|
||
|
|
||
|
# katika jina lako
|
||
|
|
||
|
Hapa "jina" linamwakilisha mtu. "katika wewe"
|
||
|
|
||
|
# katika haki yako wanakutukuza
|
||
|
|
||
|
"wanakutukuza kwa sababu daima huwa unafanya kilicho sawa"
|