forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
369 B
Markdown
16 lines
369 B
Markdown
# Aliita akilini
|
|
|
|
"Alikumbuka"
|
|
|
|
# wameumbwa kwa nyama
|
|
|
|
Neno "nyama," ambalo ni dhaifu halafu hufa, ni njia nyingine ya kusema udhaifu na mauti. "Waisraeli walikuwa wanyonge na siku moja watakufa"
|
|
|
|
# maeneo yenye ukame
|
|
|
|
"sehemu ambapo hakuna kitu kinachoota"
|
|
|
|
# walimpinga Mungu
|
|
|
|
Walitaka Mungu kuthibitisha kuwa anaweza kufanya alichosema atafanya kabla hawajamwamini.
|