sw_tn/psa/078/039.md

369 B

Aliita akilini

"Alikumbuka"

wameumbwa kwa nyama

Neno "nyama," ambalo ni dhaifu halafu hufa, ni njia nyingine ya kusema udhaifu na mauti. "Waisraeli walikuwa wanyonge na siku moja watakufa"

maeneo yenye ukame

"sehemu ambapo hakuna kitu kinachoota"

walimpinga Mungu

Walitaka Mungu kuthibitisha kuwa anaweza kufanya alichosema atafanya kabla hawajamwamini.