sw_tn/psa/078/039.md

16 lines
369 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Aliita akilini
"Alikumbuka"
# wameumbwa kwa nyama
Neno "nyama," ambalo ni dhaifu halafu hufa, ni njia nyingine ya kusema udhaifu na mauti. "Waisraeli walikuwa wanyonge na siku moja watakufa"
# maeneo yenye ukame
"sehemu ambapo hakuna kitu kinachoota"
# walimpinga Mungu
Walitaka Mungu kuthibitisha kuwa anaweza kufanya alichosema atafanya kabla hawajamwamini.