sw_tn/psa/062/011.md

411 B

Mungu amezungumza mara moja, mara mbili nimesikia hivi

Hii inamaanisha kuwa Mungu amesema hivi zaidi ya mara moja.

nguvu ni ya Mungu

"Mungu ndiye myenye nguvu kweli kweli"

Pia kwako, Bwana, ni uaminifu wa agano

"yeye ndiye anayetupenda kwa uaminifu, kama alivyoahidi"

kwa kuwa unamlipa kila mtu kwa kile alichokifanya

Mwandishi anazungumzia dhawabu za Mungu kana kwamba analipa mshahara wa kazi.