forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
411 B
Markdown
16 lines
411 B
Markdown
|
# Mungu amezungumza mara moja, mara mbili nimesikia hivi
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kuwa Mungu amesema hivi zaidi ya mara moja.
|
||
|
|
||
|
# nguvu ni ya Mungu
|
||
|
|
||
|
"Mungu ndiye myenye nguvu kweli kweli"
|
||
|
|
||
|
# Pia kwako, Bwana, ni uaminifu wa agano
|
||
|
|
||
|
"yeye ndiye anayetupenda kwa uaminifu, kama alivyoahidi"
|
||
|
|
||
|
# kwa kuwa unamlipa kila mtu kwa kile alichokifanya
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anazungumzia dhawabu za Mungu kana kwamba analipa mshahara wa kazi.
|