forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
377 B
Markdown
16 lines
377 B
Markdown
# Usiniache ... usikae mbali na mimi
|
|
|
|
Misemo hii miwili ina maana za kufanana sana.
|
|
|
|
# usikae mbali na mimi
|
|
|
|
Kwa sababu Yahwe bado hajajibu ombi la mwandishi, anamzungumzia Yahwe kana kwamba yahwe alikuwa amesimama mbali na mwandishi.
|
|
|
|
# Njoo upesi kunisaidia
|
|
|
|
Mungu anazungumziwa kana kwamba anakimbia kwenda kwa mwandishi kumsaidia.
|
|
|
|
# wokovu wangu
|
|
|
|
"wewe ndiye unayeniokoa"
|