sw_tn/psa/038/021.md

377 B

Usiniache ... usikae mbali na mimi

Misemo hii miwili ina maana za kufanana sana.

usikae mbali na mimi

Kwa sababu Yahwe bado hajajibu ombi la mwandishi, anamzungumzia Yahwe kana kwamba yahwe alikuwa amesimama mbali na mwandishi.

Njoo upesi kunisaidia

Mungu anazungumziwa kana kwamba anakimbia kwenda kwa mwandishi kumsaidia.

wokovu wangu

"wewe ndiye unayeniokoa"