forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
570 B
Markdown
28 lines
570 B
Markdown
# Wanatunzwa milele
|
|
|
|
"Yahwe atawalinda milele"
|
|
|
|
# watakatwa
|
|
|
|
Uharibifu wa waovu unazungumziwa kana kwamba walikuwa tawi la mmea uliokatwa na kutupwa.
|
|
|
|
# wenye haki
|
|
|
|
"watu wenye haki"
|
|
|
|
# watarithi nchi
|
|
|
|
Umiliki wa nchi unazungumziwa kana kwamba umepokelewa kama urithi. "watapokea nchi kama urithi wao" au "wataruhusiwa kuishi katika nchi kwa usalama"
|
|
|
|
# Mdomo wa mtu mwenye haki
|
|
|
|
Hapa "mdomo" unawakilisha mtu mzima anayezungumza. "Mtu mwenye haki"
|
|
|
|
# huzungumza hekima
|
|
|
|
"huwapa wengine ushauri wa hekima"
|
|
|
|
# huongeza hukumu
|
|
|
|
"huwatia moyo watu wengine kuishi kwa haki"
|