sw_tn/psa/037/028.md

570 B

Wanatunzwa milele

"Yahwe atawalinda milele"

watakatwa

Uharibifu wa waovu unazungumziwa kana kwamba walikuwa tawi la mmea uliokatwa na kutupwa.

wenye haki

"watu wenye haki"

watarithi nchi

Umiliki wa nchi unazungumziwa kana kwamba umepokelewa kama urithi. "watapokea nchi kama urithi wao" au "wataruhusiwa kuishi katika nchi kwa usalama"

Mdomo wa mtu mwenye haki

Hapa "mdomo" unawakilisha mtu mzima anayezungumza. "Mtu mwenye haki"

huzungumza hekima

"huwapa wengine ushauri wa hekima"

huongeza hukumu

"huwatia moyo watu wengine kuishi kwa haki"