sw_tn/psa/016/009.md

495 B

Taarifa ya Jumla:

Daudi anaendelea kuzungumza na Mungu.

Kwa hiyo moyo wangu una furaha; utukufu wangu unashangilia

Msemaji anasema kwamba kuweza kumsifu Mungu kunamletea yeye heshima. Vishazi hivi viwili vinaeleza vitu vya kufanana. "Kwa hiyo nina furaha, nina heshima kumsifu"

moyo wangu

Hapa "moyo" unaashiria mawazo na hisia za msemaji.

utukufu wangu

Matoleo mengi yanatafsiri "utukufu wangu" kumaanisha moyo wa mwandishi, anayekuwa na heshima kushangilia kwa sababu ya Mungu.