forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
495 B
Markdown
16 lines
495 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Daudi anaendelea kuzungumza na Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Kwa hiyo moyo wangu una furaha; utukufu wangu unashangilia
|
||
|
|
||
|
Msemaji anasema kwamba kuweza kumsifu Mungu kunamletea yeye heshima. Vishazi hivi viwili vinaeleza vitu vya kufanana. "Kwa hiyo nina furaha, nina heshima kumsifu"
|
||
|
|
||
|
# moyo wangu
|
||
|
|
||
|
Hapa "moyo" unaashiria mawazo na hisia za msemaji.
|
||
|
|
||
|
# utukufu wangu
|
||
|
|
||
|
Matoleo mengi yanatafsiri "utukufu wangu" kumaanisha moyo wa mwandishi, anayekuwa na heshima kushangilia kwa sababu ya Mungu.
|