forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
518 B
Markdown
28 lines
518 B
Markdown
# yeye amwadibishaye mtu, baadaye atapata kibali kutoka kwake kuliko yule ambaye humsifu kwa ulimi wake
|
|
|
|
"mtu atakuwa mwenye fadhila kwe aliyemwadibisha kuliko mtu mwenye kumsifu kwa ulimi wake"
|
|
|
|
# yeye amwadibishaye
|
|
|
|
"kama mtu anaadibisha"
|
|
|
|
# humsifu kwa ulimi wake
|
|
|
|
"humsifu kwa maneno"
|
|
|
|
# humsifu
|
|
|
|
kumtukuza mtu kwa namna ambayeo si ya kweli. au kumsifu mtu kwa mambo ambayo si ya kweli
|
|
|
|
# yeye aibaye
|
|
|
|
"mtu anayeiba"
|
|
|
|
# na husema, "Hiyo si dhambi,"
|
|
|
|
"na kusema hiyo siyo dhambi"
|
|
|
|
# rafiki wa
|
|
|
|
"ni mtu wa aina ya "
|