sw_tn/pro/28/23.md

518 B

yeye amwadibishaye mtu, baadaye atapata kibali kutoka kwake kuliko yule ambaye humsifu kwa ulimi wake

"mtu atakuwa mwenye fadhila kwe aliyemwadibisha kuliko mtu mwenye kumsifu kwa ulimi wake"

yeye amwadibishaye

"kama mtu anaadibisha"

humsifu kwa ulimi wake

"humsifu kwa maneno"

humsifu

kumtukuza mtu kwa namna ambayeo si ya kweli. au kumsifu mtu kwa mambo ambayo si ya kweli

yeye aibaye

"mtu anayeiba"

na husema, "Hiyo si dhambi,"

"na kusema hiyo siyo dhambi"

rafiki wa

"ni mtu wa aina ya "