sw_tn/pro/27/11.md

445 B

huufanya moyo wangu ufurahi

"hunifanya kujisikia furaha"

kisha nitatoa jibu kwa yule mwenye kunidhihaki

"kisha nitajibu kwa yule anayenidhihaki mimi kwa kumwambia habari yako"

mtu mwenye busara huiona taabu na kujificha mwenyewe, lakini watu wajinga huendela na kuteseka kwa ajili yake

Angalia 22:3

mtu mwenye busara

mtu mwerevu" au "mtu mwenye akili njema"

watu wajinga

"watu ambao hawana uzoefu na hawaja pevuka kifikira"