forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
445 B
Markdown
20 lines
445 B
Markdown
|
# huufanya moyo wangu ufurahi
|
||
|
|
||
|
"hunifanya kujisikia furaha"
|
||
|
|
||
|
# kisha nitatoa jibu kwa yule mwenye kunidhihaki
|
||
|
|
||
|
"kisha nitajibu kwa yule anayenidhihaki mimi kwa kumwambia habari yako"
|
||
|
|
||
|
# mtu mwenye busara huiona taabu na kujificha mwenyewe, lakini watu wajinga huendela na kuteseka kwa ajili yake
|
||
|
|
||
|
Angalia 22:3
|
||
|
|
||
|
# mtu mwenye busara
|
||
|
|
||
|
mtu mwerevu" au "mtu mwenye akili njema"
|
||
|
|
||
|
# watu wajinga
|
||
|
|
||
|
"watu ambao hawana uzoefu na hawaja pevuka kifikira"
|