forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
470 B
Markdown
16 lines
470 B
Markdown
# mtu aliyekula na kushiba
|
|
|
|
"mtu aliyetosheka" au "mtu aliyekula kiasi cha kushiba"
|
|
|
|
# hukataa hata sega la asali
|
|
|
|
Sega la asali lingetamanisha, lakini si kwa mtu ambaye tayari amekwisha kula na kushiba.
|
|
|
|
# kila kitu kichungu ni kitamu
|
|
|
|
"kila kitu chenye ladha ya uchungu ni kitamu kwa kuonja"
|
|
|
|
# kama ndege ambaye hutanga tanga kutoka kwenye kiote chake ndiyo alivyo mtu ambaye hupotea ambapo anaishi
|
|
|
|
"kutanga tanga" na "kupotea" maana yake ni moja kwenye mstari huu
|