sw_tn/pro/27/07.md

470 B

mtu aliyekula na kushiba

"mtu aliyetosheka" au "mtu aliyekula kiasi cha kushiba"

hukataa hata sega la asali

Sega la asali lingetamanisha, lakini si kwa mtu ambaye tayari amekwisha kula na kushiba.

kila kitu kichungu ni kitamu

"kila kitu chenye ladha ya uchungu ni kitamu kwa kuonja"

kama ndege ambaye hutanga tanga kutoka kwenye kiote chake ndiyo alivyo mtu ambaye hupotea ambapo anaishi

"kutanga tanga" na "kupotea" maana yake ni moja kwenye mstari huu