forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
541 B
Markdown
20 lines
541 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20)
|
|
|
|
# anayelala juu ya mlingoti
|
|
|
|
"anayelala juu kwenye ndoo karibu namlingoti"
|
|
|
|
# mlingoti
|
|
|
|
ufito wa mbao mrefu ambao huwekwe kwenye meli wakati wa safari ya majini
|
|
|
|
# walimpiga ...lakini hakuumia. walinipiga, wala siku hisi kitu
|
|
|
|
Kwa sababu mtu mlevi hafikirii vizuri, anadhani kuwa watu wanampiga, lakini hasikii maumivu na wala hakumbuki chochote.
|
|
|
|
# nitaamka lini?
|
|
|
|
mtu mlevi anashangaa ni wakati gani atakuwa na busara tena, wakati madhara ya pombe yatakapoisha.
|