sw_tn/pro/23/34.md

541 B

Maelezo ya Jumla

Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20)

anayelala juu ya mlingoti

"anayelala juu kwenye ndoo karibu namlingoti"

mlingoti

ufito wa mbao mrefu ambao huwekwe kwenye meli wakati wa safari ya majini

walimpiga ...lakini hakuumia. walinipiga, wala siku hisi kitu

Kwa sababu mtu mlevi hafikirii vizuri, anadhani kuwa watu wanampiga, lakini hasikii maumivu na wala hakumbuki chochote.

nitaamka lini?

mtu mlevi anashangaa ni wakati gani atakuwa na busara tena, wakati madhara ya pombe yatakapoisha.