forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
420 B
Markdown
20 lines
420 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20)
|
|
|
|
# tumia moyo wako kwa
|
|
|
|
Hii ni nahau "fanya bidii kufahamu na kukumbuka" pia angalia 22:17
|
|
|
|
# mafundisho
|
|
|
|
1) "mambo ambayo watu wanakuambia ni mema na yale mabaya" au 2) "vile watu wanakuambia wanapokusahihisha"
|
|
|
|
# na masikio yako
|
|
|
|
"tumia masikio yako" au "sikiliza kwa makini"
|
|
|
|
# kwenye maneno ya maarifa
|
|
|
|
"mimi ninapokuambia ambacho nakijua"
|