sw_tn/pro/23/12.md

20 lines
420 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Maelezo ya Jumla
Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20)
# tumia moyo wako kwa
Hii ni nahau "fanya bidii kufahamu na kukumbuka" pia angalia 22:17
# mafundisho
1) "mambo ambayo watu wanakuambia ni mema na yale mabaya" au 2) "vile watu wanakuambia wanapokusahihisha"
# na masikio yako
"tumia masikio yako" au "sikiliza kwa makini"
# kwenye maneno ya maarifa
"mimi ninapokuambia ambacho nakijua"