forked from WA-Catalog/sw_tn
413 B
413 B
Maelezo ya Jumla
Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20)
mtu ambaye hutawaliwa na hasira
"mtu asiyeweza kutawala hasira yake"
ghadhabu
kuonesha nguvu nyingi kwa hasira
utakuwa chambo kwa ajili ya nafsi yako
"utakuwa kama mnyama alaye chambo na mtego hujifunga na hujindwa kujiokoa"
chambo kwa ajili ya nafsi yako
"chambo ni kitu ambacho mtu amekiweka ili aweze kukuangamiza"