sw_tn/pro/22/24.md

413 B

Maelezo ya Jumla

Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20)

mtu ambaye hutawaliwa na hasira

"mtu asiyeweza kutawala hasira yake"

ghadhabu

kuonesha nguvu nyingi kwa hasira

utakuwa chambo kwa ajili ya nafsi yako

"utakuwa kama mnyama alaye chambo na mtego hujifunga na hujindwa kujiokoa"

chambo kwa ajili ya nafsi yako

"chambo ni kitu ambacho mtu amekiweka ili aweze kukuangamiza"