forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
413 B
Markdown
20 lines
413 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Mistari hii ni mwendelezo wa "misemo thelathini"(22:20)
|
||
|
|
||
|
# mtu ambaye hutawaliwa na hasira
|
||
|
|
||
|
"mtu asiyeweza kutawala hasira yake"
|
||
|
|
||
|
# ghadhabu
|
||
|
|
||
|
kuonesha nguvu nyingi kwa hasira
|
||
|
|
||
|
# utakuwa chambo kwa ajili ya nafsi yako
|
||
|
|
||
|
"utakuwa kama mnyama alaye chambo na mtego hujifunga na hujindwa kujiokoa"
|
||
|
|
||
|
# chambo kwa ajili ya nafsi yako
|
||
|
|
||
|
"chambo ni kitu ambacho mtu amekiweka ili aweze kukuangamiza"
|